Google PlusRSS FeedEmail

SHAKIRA AZIDI KUDATA NA MCHEZO WA SOKA

Mwanamuziki Shakira Amesema kamwe hataacha kushabikia mchezo wa soka kwa kuwa mchezo huo upo kwenye damu..Shakira ambaye ni mpenzi wa timu ya Barcelona alisema kuwa hawezi kutenganisha soka na muziki"Nilianza kujikita kwenye soka tangu mwaka 2006 nilipoimba katika fainali za kombe la Dunia Ujerumani lakini katika maisha yangu siwezi kusahau fainali za mwaka 2010 Nchini Africa ya Kusini,fainali zilikuwa za aina yake..Shakira amesema anatumia kipaji chake cha kuimba ili kutuma ujumbe kwa jamii kuhusu maswala ya elimu na alisema yuko radhi kwenda kokote Duniani kwa maswala ya soka..Hispania ilitwaa Kombe la la Dunia katika fainali za Africa ya Kusini ambapo Shakira Alipata nafasi ya kutumbuiza katika ufunguzi wa fainali hizo,ambapo shakira ana mahusiano na mchezaji wa timu ya taifa ya Hispania Gerard Pique.. 

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging