Google PlusRSS FeedEmail

ASLAY KUTOKA NA UMBEA

Mwanamuziki anayekuja kwa kasi katika gemu la muziki nchini ‘ASLAY’ anatarajia kutoa nyimbo mpya hivi karibuni inayoitwa ‘UMBEA’ aliyomshirikisha Chege.Akizungumza na mwandishi wa blog hii Said Fella amesama, nyimbo hiyo imetengenezwa na Suresh Studio za mkubwa na wanawe zilizopo Temeke na video imefanywa na ‘Visual ‘ Pamoja na hayo alisema kuwa nyimbo ya umbea itakuwa nyimbo ya tatu kutoa Aslay ya kwanza niwe nawe, na ya pili naenda kusema..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging