Google PlusRSS FeedEmail

BLOOD HOUSE IMENIPA MCHUMBA- ALLEN

Mwigizaji Nyota anayekuja juu katika tasnia ya filamu Nchini Elia Daniel ‘Allen’ anasema kuwa filamu yao mpya ya Blood House (Nyumba ya Damu) inayotarajia kuingia sokoni hivi karibuni kwake imeleta faida kubwa kutokana na kufanya kuweza kumpata mchumba ambaye ni Anna Matee aliyeigiza kama Angel, katika filamu hiyo Allen na Angel wameigiza kama mke na mume“Filamu hii ya Blood House ni filamu ya kipekee sana na ni kazi ambazo kwangu mimi ni fahari kwa kuniletea faida kubwa nyingi tu, ikiwa ni pamoja na kuwa na mpenzi wa kweli ambaye ni Angel niliyecheza naye kama mke wangu katika filamu hiyo lakini pia kwa sasa ni mchumba wangu na mungu akipenda tunaweza kuwa kweli ni mke na mume kama ilivyokuwa katika Blood House,”anasema Allen 
Allen ni msanii ambaye mbali na kuigiza pia ni muongozaji wa filamu ameshiriki katika filamu kama God is Great, Damu ya Mjomba, Im not my Brother, Maisha ya siri, Gamba la nje Hellen, katika filamu ya Blood House imeshirikisha wasanii nyota kama Mohamed Fungafunga ‘Mzee Jengua’, Charles Magali ‘Mzee Magali’, Chuchu Hans, Anna Matee ‘Angel’, Elia Daniel ‘Allen’ msanii huyo anasema kuwa filamu hiyo si ya kuikosa kutokana na kiwango chake...

KWA HISANI YA FC

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging