Google PlusRSS FeedEmail

YALIYOJILI DODOMA

Wasanii wa muziki wa kizazi kipya wa kundi la Wanaume Family, Said Juma ‘Chege’ (kushoto) na Amani James Temba ‘Mheshimiwa Temba’ wakionyesha makali yao katika onyesho la uzinduzi wa huduma ya Airtel Jiunge na Supa 5 Dodoma
 Sehemu ya umati wa wakazi wa Mji wa Dodoma waliohudhuria uzinduzi wa huduma ya Airtel Jiunge na Supa 5 Dodoma
Msanii wa kundi la muziki wa bongo fleva la Tip Top Connection, Hamad Ally ‘Madee’ akichengua mashabiki wake waliojitokeza katika onyesho la uzinduzi wa huduma ya Airtel Jiunge na Supa 5 mjini Dodoma mwishoni mwa wiki.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging