Google PlusRSS FeedEmail

DOGO RAMA AWATISHIO KWENYE UIMBAJI

Mwanamuziki wa muziki wa dansi nchini kupitia bendi ya Twanga pepeta ‘Ramadhani Hamisi ‘Dogo Rama amefunguka kwa kusema kuwa kwa sasa yeye ni muimbaji tishio kwa bendi za hapa nchini , akizungumza Dar es Salaam hivi karibuni alisema kila kunapopambazuka kiwango chake kinazidi kupanda katika uimbaji wake“Mashabiki ndio wanaojua na nimekuwa nikipata pongezi kupitia barua pepe pamoja na ukurasa wangu wa facebook” alisema Dogo Rama. Kwa mwanamuziki huyo amekuwa nyota katika bendi hiyo ya Twanga pepeta iondokewe na qanamuziki wake kama Khalid Chuma ‘Chokoraa’

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging