Google PlusRSS FeedEmail

GAGA ATANUA NA MPENZI WAKE


Lady Gaga amekuwa na furaha baada ya kumchukua mppenzi wake kwenda naye kwenye mgahawa wa baba yake na kupata chakula na kumtambulisha .Gaga aliongozana na Taylor Kinney katika matembezi nchini Austaria na kurudi pamoja nchini New York

Usiku waliamua kwenda katika mgahawa wa Joe Germanotta’s huku Joe akiwepo kama kawaida yake,Gaga kwa sasa amekuwa ni mtu tofauti kidogo kwani katika tukio hilo aliamua kwenda usiku huku akijificha kukwepa kuonekana na mapaparazi

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging