Msanii mwenye vituko vingi Lady Gaga ameibuka na kudai kuwa angependa kuzaa watoto watano wote wakiwa na baba tofauti, Msanii huyo ambaye mara kwa mara amekuwa akifananishwa na Lady Madona kutokana na vihoja vyake alisema kama atafanikiwa hilo ataridhika na nafsi yake .“Kila mtu anakuw a na ndoto zake katika maisha hivyo hata mimi nikiwa kama binadamu wengine napenda hivyo” Msanii huyo alisema kuwa mwaka huu kabla haujaisha anatarajia kuanza kutimiza lengo hilo bila ya kufafaanua zaidi nini anamaanisha.......
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








