Google PlusRSS FeedEmail

KIM NA MUONEKANO WA TOFAUTI

Kim Kardashian kwa mara ya kwanza ameonekana akiwa amevaa nguo iliyombana mwili wake na kuonyesha shepu ya tofauti na iliyokuwepo awali, Kim alionekana hivi karibuni katika mitaa ya New York akiwa na mpenzi wake Kanye West, kwa mujibu wa watoa habari hizi wanasema kuwa Kim ametengeneza shepu hiyo ambayo awali hakuwa nayo , watoa habari wamesema kwa muda mrefu Kim alitaka kuwa na shepu kama ya Beyonce ambaye ni mke wa Jay Z ambaye ni rafiki wa karibu na Kanye

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging