Google PlusRSS FeedEmail

CHRIS BROWN AKUMBWA NA MKASA MWINGINE


Msanii wa Pop na R&B, Chris Brown amepata balaa lingine katika mapenzi lakini safari hii na mpenzi wa sasa Karrueche

Mrembo huyo aliyeichukua nafasi ya Rihanna aliamua kuchukua picha aliyoipiga na mvulana mwingine huku akimpiga busumdomoni na kuiweka katika mitandao

Tukio hilo limechukuliwa kama ni mkosi wa mapenzi unaomwandama mkali huyo toka alipoachana na Rihanna

Pia tukio hilo lililofanywa na Karrueche linachukuliwa kama la kulipiza kisasi kwa Brown ambaye alipigwa busu na Rihanna katika utoaji wa tuzo za VMA

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging