Google PlusRSS FeedEmail

CHRIS BROWN : SIJARUDIANA NA RIHANNA



Mwimbaji wa pop na R&B Chris Brown amesema hajarudiana na mpenzi wake wa zamani kama ilivyoripotiwa katika vyombo vya habari

Hivi karibuni Brown alitangaza kuachana na mpenzi wake Karrueche jambo lililotafsiriwa kuwa anataka kuwa karibu na Rihanna

Karrueche Tran na Chris Brown wameonekana tena wakiwa pamoja huko Kaskazini mwa Hollwood, pia wiki iliyopita Chris na Rihanna walionekana kaskazini mwa West Hollywood katika klabu moja ya usiku, lakini wakati wa kutoka kila mmoja alitoka kivyake

Lakini katika tukio kama hilo Brown ameonekana akienda katika klabu hiyo akiwa na Karrueche

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging