Google PlusRSS FeedEmail

HUSSEIN MACHOZI : BAADHI YA WASANII WANAOENDA KUFANYA SHOO NJE YA NCHI WANAFANYA SEBULENI




Nyota anayetisha katika anga za muziki wa Bongofleva nchini Hussein Rashid, maarufu kwa jina la Hussein Machozi amesema hayuko teyari kupelekwa nchi za nje kwa ajili ya kufanya shoo za sebuleni

Machozi alisema shoo za aina hiyo hazina maana yoyote kwa msanii kwa vile hapati nafasi za kuonyesha uwezo wake na kutimiza malengo yake ya kimuziki


Kwa mujibu wa Machozi wasanii wengi wa muziki wa kizazi kipya nchini wanaoalikwa kwenda kufanya maonyesho nje ya nchi hawapati nafasi ya kuutangaza muziki wao kimataifa kwa vile maonyesho hayo huwa ni ya watu wachache

Machozi alisema hayo mwishoni mwa wiki iliyopita alipokuwa akihojiwa na kituo cha televisheni cha Star Tv kuhusu maendeleo na Mustakabali wake kimuziki

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging