Google PlusRSS FeedEmail

DNA ABAMBA USIKU WA CLUB



Msanii kutoka nchini Kenya anayetamba na kibao chake 'Unamaswali ya Polisi' DNA akiwa ameshuka jukwaani muda mfupi baada ya kuonyesha mashabiki wake maswali ya polisi katika ukumbi wa club Bilicans wakati wa uzinduzi wa Usiku wa Club uliokuwa ukirushwa live na TBC I &TBC II , usiku huo pia uliandaliwa na Pro- 24 DJ'S

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging