Google PlusRSS FeedEmail

DOGO JANJA AMZIMIA DNA



Dogo Janja msanii anayekuwa kwa kasi kwenye tasnia ya muziki wa kizazi kipya amekiri 'kumzimikia' msanii wa kutoka nchini Kenya DNA kwa kile kinachodaiwa anapenda kazi zake zilizoambatana na ubunifu wa hali ya juu

Dogo Janja aliyasema hayo baada ya kumaliza kupiga shoo ya 'ukweli ndani ya ukumbi wa Club Bilicans katika uzinduzi wa Usiku wa Club ulioandaliwa na TBC I pamoja na Pro 24 Dj's

Alisema kuwa anajikuta anamzimia msanii huyo na kwake imekuwa ni faraja kubwa kufanya shoo pamoja katika stage moja huku wakiwa wamepata nafasi ya kuzungumza

Dogo Janja alisema kuwa alikuwa na ndoto za kukutana na msanii huyo, hivyo kwake imekuwa ni njia ya kukamilisha ndoto yake

Dongo Janja ambaye kwa sasa yupo katika kundi la watanashati baada ya kutoka Tip Top Connectio

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging