Google PlusRSS FeedEmail

DORREN KABAREEBE AMRUDIA MUNGU


Baada ya kusumbuliwa na ile skendo ya kuonyesha makalio stejini wakati Jose Chameleon akifanya shoo Uganda mwezi uliopita mwanamitindo Doreen Kabareebe amesema sasa ameamua kumrudia Mungu

Staa huyo ameandika kuwa maisha yake sasa yamehamia kanisani kwani anatumia muda mwingi kwenye nyumba hiyo ya ibada , tofauti na wakristo wengine ambao husali mara moja kwa wiki yeye anasema anahudhuria ibada zote ndogondogo ambazo huwa hazifuatwi

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging