Google PlusRSS FeedEmail

RICK ROSS NA YOUNG JEEZY WATAKA KUZICHAPA



Rapa mwenye jina kwa sasa Rick Ross kidogo wapigane na rapa mwenzake Young Jeezy walipokutana katika utoaji wa tuzo za BET

kwa mujibu wa video iliyotolewa na watu wa ulinzi waliokuwepo katika ukumbi huo ilionyesha wawili hao wakibishana kabla ya wapambe wao kuwatenganisha kabla ya kupigana

Video hiyo iliweza kuonesha kabisa jinsi wawili hao walivyotaka kupigana kwa ngumi kabla ya kutaka kuondolewa kila moja kupelekwa upande mwingine

Rick Ross alionekana akiwa amevua fulana yake kabla ya kupelekwa mbali , lakini pia baadae alionekana kutaka kujaribu kumfuata tena Young Jeezy kabla ya walinzi kumzuia kufanya hivyo

Taarifa kutoka jeshi la polisi zinasema kuwa hakuna mtu ambaye aliweza kukamatwa kutokana na tukio hilo kwa kuwa swala hilo halikufikishwa



This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging