Google PlusRSS FeedEmail

WEMA NA AUNT, WAIOMBA MSAMAHA JAMII


Hatimaye ma diva wa filamu nchini Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wameomba msamaha kwa jamii kwa kile kitendo kilichotokea kwa kupanda jukwaani huku wakionyesha sehemu kubwa ya maungo yao

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Wema Sepetu alisema kuwa wanaomba msamaha kwa jamii nzima kwa kitendo kilichotokea kwani anaamini kuwa wameikosea jamii kwa ujumla ikiwa wao ni kioo cha jamii

Msamahaa huo umekuja baada ya Shirikisho la Filamu Tanzania(TAFF) kushinikiza na kukipigia kelele tabia hiyo kwa madai kuwa wanaishushia hadhi tasnia ya filamu nchini

Pamoja na hayo uongozi wa TAFF liliwaandikia barua za onyo wasanii hao kwa kitendo hicho walichokifanya huku Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) lililaani tabia hiyo ya kudharilisha sanaa kwa ujumla

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging