Google PlusRSS FeedEmail

RIHANNA APENDEKEZWA KUWA JAJI KATIKA SHINDALO LA VIPAJI


Rihanna huenda akawa jaji mpya wa mashindano ya kusaka vipaji vya kuimba ‘X Factor’ kwa mujibu wa L.A  Reid, muimbaji huyo wa kibao cha ‘Diamonds’ ni mtu sahihi wa kupewa nafasi hiyo

“Nadhani Rihanna atafaa sana ili iwe sababu ya mimi kuendelea kuangalia shoo hiyo ya Tv” Red alisema huku akicheka wakati alipouulizwa mapema wiki hii

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging