Google PlusRSS FeedEmail

ZITTO KABWE NA 'KIBEGA'



Uchezaji wa aina ya 'Kibega' ndio mtindo unaonekana kushika kasi huku ukitawala uchezaji wa watu wengi hali iliyosababisha Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe hivi karibuni alionekana akijimwayamwaya miondoko hiyo na Kundi la Makomando kutoka Nyumba ya Vipaji (THT)

Picha inamuonyesha Zitto Kabwe akiwa anacheza sambamba na wasanii wa kundi la Makomando

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging