Google PlusRSS FeedEmail

FRANK OCEAN JERAHA ALILOPEWA NA CHRISS BROWN LINAMTESA




Frank Ocean amepokea tuzo yake huku akiwa na jeraha mkononi ambalo lilitokana na kuumia alipozichapa na Chriss Brown.

Mtayarishaji huyo alizichapa na mwimbaji huyo walipokutana katika studio ya Ocean.

Lakini Ocean bila kuonekana kujali kuhusu jeraha hilo ambalo lipo katika vidole vya mkono alipokea tuzo yake bila ya kuwa na shaka.

Pia tukio hilo liliwakutanisha wawili hao kwa mara kwanza toka walipopigana kwa sababu inayoelezwa ni ya kitoto na kila mmoja hakuoneka  kuwa na chuki na mwenzake.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging