Google PlusRSS FeedEmail

CIARA: MIMI SITAKI BIFU



Ciara hana mpango wa kuingia katika 'bifu' la kwenye mtandao wa kijamii ambalo Rihanna na wapambe wake wameliibua hivi karibuni

Wakati wakifanya mahojiano ya kupromoti albamu yake ijayo ya 'One Woman Army' Ciara alisema , "Nadhani ni masihala na inachekesha mimi sijali nimetulia wanaweza kufanya wanachotaka, mimi akili yangu iko kwingine kabisa " alisema Ciara huku akiongezea kumtakia mafanikio Rihanna katika kazi yake "Rihanna anamambo mengi mno ya kufanya tena yenye maana kuliko haya"

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging