Google PlusRSS FeedEmail

MOJI OLAIYA ATAKA KUACHANA NA MUMEWE



Muigizaji wa Nollywood, Moji Olaiya ambaye pia ni binti wa mwanamuziki maarufu wa Nigeria, Victor Olaiya amesema kuwa hali ni mbaya sana katika ndoa yake hivyo hana budi kutengana na mume wake

Olaiya alisema kuwa aliona kuwa kuolewa ni kitu rahisi sana, lakini ukweli ni kwamba kukaa katika ndoa ni suala gumu na linalohitaji umakini hasa linapokuja suala la kula na kuvaa

Katika mahojiano yake na mtandao wa Nollywood, olaiya aliweka wazi kuwa maumivu ya siri yaliyopo katika ndoa yake huku akieleza kuwa maisha ndiyo yanayomfanya atengane na mume wake na kamwe hawezi kubadili msimamo

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging