Google PlusRSS FeedEmail

KIMBERLEY AANDAA WASIFU WAKE



Kimberley Walsh amefuata nyayo za muimbaji mwenzake katika bendi ya zamani ya Girls Aloud ambayo imesambaratika, Cheryl Cole kwa kutoa kitabu cha wasifu wa maisha yake

Baada ya miaka 10 ya kutumbuiza pamoja mwimbaji huyo mwenye umri wa miaka 31 ameahidi kuelezea jinsi kundi lao la Girls Aloud lilivyokuwa

Mwezi uliopita mwishoni mwa maadhimisho ya miaka 10 ya kundi hilo lilitangaza kuvunjika kwake "Watu wamekuwa wakinitaka nielezee historia yangu kwa mara nyingine sasa, lakini si kuhisi kama ilikuwa ni wakati muafaka kwa kipindi hicho wakati nilikuwa bado nipo ndani ya bendi hiyo pamoja na wenzangu" alisema Kimberley

Machi mwaka jana mwimbaji mwingine wa bendi hiyo alitoa kitabu alichokipa jina la 'Tell-all'ambacho ndani yake ilibainisha maelezo juu ya maisha yake ya ndoa na mwanasoka nyota wa England anayechezea Chelsea

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging