Google PlusRSS FeedEmail

ROBBIE AMKANA ADELE HADHARANI



Robbie Williams amekanusha taarifa kwamba ameungana na Adele kurekodi wimbo mpya, huku akisisitiza kwamba hakuna mpango wowote wa kutoa kibao na nyota huyo wa muziki wa soul

Williams amekuwa karibu na Adele baada ya mke wake Ayda Field kuanzisha urafiki na mdada huyo na mapema mwaka huu wote walijifungua watoto

Taarifa za hivi karibuni zilibainisha kwamba wawili hao wapo kwenye mikakati ya kutoa kibao cha pamoja lakini sasa Williams ameeleza wazi hana mpango wowote wa kufanya au kushirikiana kimuziki na mshindi huyo wa tuzo za Oscar

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging