Google PlusRSS FeedEmail

UJAUZITO KUTOMZUIA HALLE BERRY KUONEKANA KWENYE MUVI



Star wa muvi wa kike kutoka Hollywood, Halle Berry amesema kwamba ujauzito hautomzuia kurekodi picha ya filamu yake mpya ya 'Stormin X-Men Days of Future Past'

Star huyo wa filamu (46) anatarajia kupata mtoto wake pamoja na mchumba wake raia wa Ufaransa Olivier Martinez lakini hana mpango wa kuchukua likizo ya mateniti

Berry amesisitiza kwamba atatokea kwenye filamu ijayo ya X-Men ambayo itaanza kupigwa picha zake baadaye mwaka huu, lakini amesema hatojihusisha kwenye sehemu ya mapigano

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging