Google PlusRSS FeedEmail

FEZA KESSY MWAKILISHI BIG BROTHER TANZANIA





Mrembo aliyewahi kushiriki shindano la Miss Tanzania Feza Kessy, ametangazwa kuiwakilisha Tanzania katika shindano la 'Big Brother Afrika The Chase' nchini Afrika Kusini

Mbali na Kessy mwakilishi mwingine ni Dando atakuwa katika jengo hilo ambapo washiriki wa shindano hilo watakaa miezi mitatu wakipigiwa kura na mashabiki

Washiriki 28 watakuwa wakifuatiliwa matendo yao ya kila siku kutokana na kamera 56 na vipaza sauti 137 ndani ya jumba hilo

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging