Google PlusRSS FeedEmail

FLAVIANA ASHIRIKI MISA MV BUKOBA



Mwanamitindo wa kimataifa wa Tanzania Flavian Matata leo atashiriki katika misa maalum ya kuwakumbuka watanzania waliopoteza maisha katika ajali ya Mv Bukoba mwaka 1996.

Misa hiyo ambayo inafanyika kwenye eneo la makaburi ya kumbukumbu ya Mv Bukoba ambapo, Flaviana alipoteza mama mzazi na kaka yake katika ajali hiyo

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging