Google PlusRSS FeedEmail

ALICIA KEYS AMPONGEZA MICHELLE OBAMA


Mwanamuziki Alicia Keys, amemzungumzia mke wa Rais wa Marekani Barak Obama , Michelle Obama kuwa ni mmoja wa wanawake wanaochangia kwa kiasi kikubwa kuwapa nguvu ya kufanya kile wanachokiamini kitawasaidia.

Keys alisema kuwa anakumbuka January mwaka huu walikuwa pamoja na mama huyo pamoja na mambo mengi alizungumza naye mambo mengi yanayohusu maisha hususani kwa wanawake ambao wanataka maendeleo kama yeye.

Alisema mfano mzuri kwake ni muimbaji mwenzake ambaye pia ni rafiki yake Rihanna anamuheshimu na kumpongeza kwa mafanikio yake ma kuwa ni mmoja ya wanawake wa kuigwa.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging