Google PlusRSS FeedEmail

WASANII WA FILAMU KUGAWA VYANDARUA


Waigizaji wa filamu nchini wanatarajia kugawa vyandarua kwa wagonjwa wa hospitali ya Seko Toure, wakati wa tamasha la Tanzania Open Film Festival (TOFF) linalotarajia kufanyika katika viwanja vya Sahara jijini Mwanza kuanzia Julai 1 hadi 7

Akizungumza jijini Dar es Salaam JB alisema kuwa kupitia jambo hilo wasanii wanapata fursa ya kukutana na moja kwa moja na mashabiki wao hivyo wamepanga kufanya kitu cha pekee

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging