WASANII WA FILAMU KUGAWA VYANDARUA
Waigizaji wa filamu nchini wanatarajia kugawa vyandarua kwa wagonjwa wa hospitali ya Seko Toure, wakati wa tamasha la Tanzania Open Film Festival (TOFF) linalotarajia kufanyika katika viwanja vya Sahara jijini Mwanza kuanzia Julai 1 hadi 7
Akizungumza jijini Dar es Salaam JB alisema kuwa kupitia jambo hilo wasanii wanapata fursa ya kukutana na moja kwa moja na mashabiki wao hivyo wamepanga kufanya kitu cha pekee








