Google PlusRSS FeedEmail

BEYONCE ASUMBULIWA NA GONJWA LA UVIVU


Mwanamuziki Kelly Rowland ambaye ni mmoja miongoni wa wadada wanaounda kundi la Destin Child ametoa ya moyoni kitu kinachomkera ambacho Beyonce anacho kuwa ni uvivu na uzembe

Akizungumza katika mahojiano maalumu Kelly alisema kuwa Beyonce anamambo mengi na anajua vitu vingi lakini suala la uvivu ndilo linamsumbua

Kelly aliweka wazi kuwa anamjua Beyonce muda mrefu kutokana na kufanya naye kazi na anajua uwezo wake wa kazi ingawa hataki kujituma zaidi ya hapo

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging