Google PlusRSS FeedEmail

JAY-Z AONJESHA UTAMU WA ALBAMU YAKE


Ikiwa zimebaki siku chache kwa mwanamuziki wa Marekani miondoko ya Hip Hop Jay Z kuiachia albamu yake iliyoipa jina la 'Magna Carta Holy Grail' ameanza kwa kutoa mashairi  yanayopatikana  katika albamu hiyo

Jay Z kwa kuanza ametoa mashahiri ya wimbo unaoitwa 'Holy Grail' aliomshirikisha Justin Timberlake ambapo pia utapatikana katika albamu hiyo

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging