Google PlusRSS FeedEmail

KANYE AMPA MTOTO WAKE JINA


Hatimaye Kanye West na Kim Kardashian teyari wamechagua jina la kumpa mtoto wao wa kike na kumwita North West aliyezaliwa hivi karibuni

Kim na Kanye wamepata mtoto wao wa kwanza na kuamua kumwita rasmi jina hilo huku wakidai kuwa wanapenda afupishwe jina hilo na kuitwa Nori

Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa familia hiyo aliweka wazi kuwaa wawili hao walikubaliana jina hilo baada ya kupita siku tano za kujifungua kwa Kim

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging