Google PlusRSS FeedEmail

KHADIJA KOPA AFIWA NA MUMEWE




Habari kutoka kwenye chanzo chetu cha karibu katika faamilia ya khadija kopa kimetupa habari asubuhi hii kuwa mume wa khadija kopa anaejulikana kama JAFFAR ALLY amefariki dunia usiku wa jana kuamkia leo huko bagamoyo ambapo ndio nyumbani kwao,marehemu alikuwa akiumwa kwa mda kidogo juzi alipata nafuu hata kupelekea mkewe KHADIJA KOPA kusafiri kikazi mpaka umauti unamkuta JAFFAR ALLY Khadija kopa yuko mkoani kwaajili ya shughuri zake za kikazi za kimuziki.Mungu ailaze roho ya marehemu Jaffar mahala pema peponi.amin.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging