Google PlusRSS FeedEmail

USIKU WA TUZO ZA KILIMANJARO MUSIC AWARDS


 Muimbaji wa kundi la Mapacha watatu Khalid Chokoraa akifwatiria shunghuri nzima za utoaji wa tuzo jana katika ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam
 Chazy Baba muimbaji wa bendi ya Mashujaa akiwa na mkewake mtarajiwa wakifwatilia utoaji wa tuzo jana
 Rapa wa kundi la Mashujaa Bendi Fagasoni akiwa na mkewake jana katika tuzo za kilimanjaro
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Rich Mavoko akitoa burudani ambayo ilipambwa na wacheza shoo wa THT jana katika kinyanganyiro cha tuzo za Kilimanjaro
 Mwana FA akifwatiria utoaji wa tuzo

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging