Google PlusRSS FeedEmail

WASHINDI WA TUZO ZA KILIMANJARO MUSIC 2013

 Mrisho Mpoto akipokea tuzo ya wimbo bora ya vionjo vya asili ambapo nyimbo iliyomsababisha kutwaa tuzo hiyo ni Chocheeni Kuni aliyoimba kwa kushirikiana na Ditto
 Ben Pol akipokea tuzo ya mtunzi bora wa mashairi bongo flava
 Chazy Baba ambaye aliibuka kuwa msanii bora wa kiume katika  bendi  akiwashukuru watanzania baada ya kupokea tuzo hiyo
Mhariri wa gazeti la Mwananchi upande wa burudani Mdimu akikabidhi tuzo kwa Amini ambapo nyimbo ya Ni wewe kuwa nyimbo bora ya zouk Rhumba

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging