Google PlusRSS FeedEmail

PARIS AJIKUTA MATATANI KWA POLISI


Mwigizaji mwenye heshima nchini Marekani Paris Hilton amejikuta akisimamishwa na polisi kutokana na kuendesha gari kwa mwendo kasi

Paris alikutana na kisanga hicho huko Beverl Hills, ambapo alikuwa akikimbiza gari katika njia ambayo haruhusiwi kukimbia kiasi hicho.

Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo alidai kuwa Paris anatambua kuwa sehemu hiyo huwa na polisi lakini inaonekana kama vile alifanya makusudi ili kuwapima wanamchukulia hatua gani

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging