Google PlusRSS FeedEmail

YALIYOJILI MAZIKO YA MAMA YAKE PROFESSA JAY

 Mwili wa mama yake Professa Jay ukiingizwa kaburini leo, baada ya ibada ya kumuombea kumalizika ambayo ilifanyika nyumbani kwa Professa Jay Mbezi jijini Dar es Salaam, mwili huo umezikwa katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam
 Professa Jay akiweka mchanga kwenye kaburi la mama yake
 Professa Jay akiweka shada la maua katika kaburi la mama yake, huku akishikiliwa na baadhi ya ndugu zake
 Badhi ya wasanii wa bongo fleva akiwemo Juma Naute wakiweka shada la maua
 Msanii wa muziki AY akimpa pole Professa Jay
 Msanii wa filamu nchini Steven Nyerere akimpa pole msanii mwenzie
 John Makini akimpa pole msanii mwenzie
 Msanii wa filamu nchini Dude akiwafariji baada ya kuweka shada la maua
 P Funk akimfariji msanii Professa Jay
Mwana FA akimpa pole

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging