Google PlusRSS FeedEmail

WATANZANIA KUCHEZA AZONTO

Mwanamuziki maarufu  miondoko ya asili ya Ghana Azonto anayeishi nchini Uingereza, Fuse ODG anatarajia kufanya shoo nchini Tanzania Dar es Saalam September 7 mwaka huu.

Muimbaji huyo wa Azonto anatarajia kufanya shoo hiyo katika viwanja vya Ustawi wa Jamii ambapo atasindikizwa na wasanii wa nyumbani akiwemo Wakazi, H. Baba, Banana Zoro

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging