Google PlusRSS FeedEmail

EMINEM AJIANDAA NA ALBAMU YA SABA

RAPPER Eminem ameanza kurekodi albamu yake ya saba inayotengenezwa na Dr. Dre aliyoipa jina la ' The Marshall Mathers LP 2' anayoitarajia kuitoa November 5 mwaka huu.

Rapper huyo ambaye yupo katika kambi maalumu kwa ajili ya kuipika albamu hiyo ambayo ni muendelezo ya kukamilisha MMLP 1, ambayo ilitoka mwaka 2000.

Albamu hiyo itakuwa ni ya saba ambayo imetengenezwa na mkongwe Dr Dre ambayo imetengenezwa na kutangazwa kwa miaka mitatu mfululizo.

Eminem teyari ameshaachia wimbo mmoja unaopatikana kwenye albamu hiyo inayojulikana kwa jina la 'Berzerk' ambayo ameiweka kwenye mtandao wake.

Kupitia beats ya Dr Dre lilitolewa tangazo kuwa Eminem sasa yupo kwenye kazi ya kukamilisha albamu hiyo ambayo itakuwa muendelezo wa albamu iliyotolewa mwaka 2000.



This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging