Google PlusRSS FeedEmail

GENEVIEVE NNAJI AINGIA ORODHA YA MATAJIRI

Muigizaji wa kike wa Nollywood, Genevieve Nnaji, anazidi kupanda kwenye kilele cha mafanikio kimya kimya bila kutangazwa na vyombo vya habari.

Muigizaji huyo ambaye hivi karibuni alikuwa ziarani huko Toronto, Canada, ameripotiwa kununua jumba jingine la kifahari lenye thamani ya Naira milioni 220 za Kinigeria ambazo ni swa na shilingi za kitanzania bilioni 21.9 katika eneo la makazi ya matajiri huko Parkiew Estate Ikoyi, jijini Lagos, Nigeria.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging