Google PlusRSS FeedEmail

MENINAH AKUWA KIMUZIKI

Muimbaji wa muziki wa R&B ambaye ni zao la BSS, Meninah Atick ameonesha kukua kimuziki baada ya kufanya shoo ya aina yake akiwa na madansa wa kiume sambamba na sarakasi zilizomga'risha zaidi katika jukwaa la Azonto live In Dar.

Akizungumza na mwandishi wa habari hii mara baada ya kutoka jukwaani msanii huyo aliweka wazi kuwa anatakiwa kubadilika kila wakati ili apambane na ushindani uliopo katika 'gemu' hilo.

Alisema kuwa mabadiliko yake ndio mafanikio katika upande wa muziki kwani alivyo leo ni tofauti na alivyokuwa kipindi yupo ndani ya BSS, msanii huyo kwa sasa anatamba na kibao kinachojulikana kwa jina la 'Dream Tonight'

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging