Google PlusRSS FeedEmail

WEMA SEPETU KUMBE NI MKALI WA KUZUNGUSHA 'NYONGA'?


Msanii wa filamu Wema Sepetu hivi karibuni baada ya kutoka kushuhudia uzinduzi wa filamu ya foolish age iliyoandaliwa na msanii wa filamu Lulu, Wema alidhihirisha kuwa yeye ni mkali wa kuzungusha nyonga.

Ukali huo aliuonesha katika ukumbi wa Thai Village, Masaki jijini Dar baada ya kusikia sebene lililokuwa likiporomoshwa na bendi ya Skylight

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging