Google PlusRSS FeedEmail

MKE WA TIMBERLAKE KUTUMIA JINA LAKE


Muigizaji Jessica Biel, ameamua kutumia jina la mwisho la mume wake ambaye pia ni mwanamuziki, Justin Timberlake, wapenzi hao ambao walioana miezi 11 iliyopita katika harusi iliyopamwa na gazeti la Hello.

Jessica amesema ataendelea kutumia jina lake la mwisho la Biel kikazi, Justine na Biel walifunga ndoa nchini Italia na kwenye siku yao hiyo maalumu, Justine alimpa zawadi mkewe kwa kumuimbia wimbo maalumu

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging