Muigizaji Veterani wa Nollywood, Kenneth Okonkwe, ambaye hivi karibuni alibainisha sura ya mwanamke mzuri kuliko wote duniani, ameamua kuweka wazi kuwa hana mahusiano yoyote na muigizaji Mercy Johnson, licha ya kuigiza naye vipande vya mahaba.
Katika mahojiano ya hivi karibuni, Okonkwe amesema tetesi zinazozagaa kuwa yeye anamahusiano na nyota huyo wa kike si za kweli. Aliweka wazi kuwa kamwe hawezi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na msanii huyo kwani ni kama dada yake
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.