Google PlusRSS FeedEmail

THE GAME AJIPANGA KURUDISHA KWA JAMII

Baada ya kupata ushirikiano wa kutosha kwa mashabiki wake msanii wa hip hop The Game ameamua kuanzisha mradi anaojulikana kwa jina la 'The Robin Hood' kwa ajili ya kuisaidia jamii yake hususani wasiojiweza.

Kitendo hiko kinajulikana kwa jina la kurudisha kwa jamii, ambapo msanii huyo ameamua kurudisha faida aliyoipa katika biashara zake.

The Game ameweka lengo la kuisaidia jamii yake kwa kuwapa fedha zitakazofika $1,000,000 hadi ifikapo katika shamrashamra za sikuu ya Christmas.

Msanii huyo aliweka wazi kuwa wazo la kuisaidia jamii yake baada ya kukutana na mtoto mwenye asili ya Afrika huko nchini Australia ambaye alimsimulia maisha magumu aliyokuwa nayo na familia yake na kumfanya Game apate moyo wa kumsaidia kile alichokuwa nacho.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging