Google PlusRSS FeedEmail

JANET ATAFUTA MTOTO

Mwanamuziki wa Marekani Janet Jackson ambaye ameolewa na bilionea Wissam Al Mana kwa sasa anafikiria kuasili mtoto kutoka Jordan au Syria.

Uchambuzi wa jarida la US Weekly unaonesha kwamba nia ya kutaka kuasili mtoto kunatokana labda na mdada huyo kutokuwa na uwezo wa kuzaa.

Janet na bilionea huyo mwenye asili ya Qatar wameelezwa kuwa wanataka kuwa na familia itakayohitimisha kilele cha furaha yao.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging