Msanii huyo nyota ameamua kuwashirikisha rappers wakali katika nyimbo hiyo akiwemo Mkoloni, Nikki Mbishi, pamoja na Songa, One ili kuongeza radha ya nyimbo hiyo ambayo teyari ameshaiachia.
JAYDEE ATOKA NA REMIX JOTO HASIRA
Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Judith Wambura 'Lady Jaydee' ameachia remix ya ngoma yake inayotomba katika baadhi ya redio nchini inayojulikana kwa jina la Joto Hasira.
Msanii huyo nyota ameamua kuwashirikisha rappers wakali katika nyimbo hiyo akiwemo Mkoloni, Nikki Mbishi, pamoja na Songa, One ili kuongeza radha ya nyimbo hiyo ambayo teyari ameshaiachia.
Msanii huyo nyota ameamua kuwashirikisha rappers wakali katika nyimbo hiyo akiwemo Mkoloni, Nikki Mbishi, pamoja na Songa, One ili kuongeza radha ya nyimbo hiyo ambayo teyari ameshaiachia.