Google PlusRSS FeedEmail

JIM LYKE ADONDOKA KANISANI



Msanii wa Nigeria Jim Lyke, ambaye hivi karibuni alikumbwa na mkasa wa kuangushwa na mapepo katika kanisa la Mtume T.B Joshua, juzi aliamua kuwakwepa wadaku na kwenda kanisani nchini Ghana.

Nyota huyo ambaye alipondwa na wenzake kwa kuangushwa na mapepo wakidai kuwa alikuwa anaogopa, alionekana kanisani Ghana akiwa na Nadia Buari.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging