Mbunifu wa mavazi kutoka Marekani ambaye pia ni mtangazaji Khloe Kardashian amewashukuru wapenzi wake kwa kumfariji katika kipindi kigumu cha uhusiano wake na mumewake.
Mwanadada huyo mwenye mvuto alitumia muda mwingi katika mtandao wa kijamii wa Facebook kuzungumza na washabiki wake hao huku akijibu baadhi ya meseji za kumtakia heri.
Kardashian alitumia dakika 35 tu katika mtandao ambapo jumla ya watu 9000 walitumia meseji kumpa pole.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.