Google PlusRSS FeedEmail

RIHANNA AWATESA MABINTI WENGI MITINDO YA NYWELE

Msanii wa muziki kutoka nchini Marekani Rihanna anaonekana kuwa kivuto kwa wasichana wengi kutokana na mitindo yake ya nywele anayopenda kuiweka kichwani mwake hali inayopelekea baadhi ya wasichana wengi kuiga mitindo hiyo.

Hii ni baadhi ya mitindo tu iliyoonekana kuwatesa wasichana wengine hususani wa hapa nyumbani huku baadhi yao kuonekana kuhitaji kuweka mitindo hiyo.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging