Google PlusRSS FeedEmail

WATU MAARUFU TATTOO ZAWAINGIZA MATATANI

Mac Anthony ni mmoja kati ya watu maarufu ambaye amefuta mchoro wake wa tattoo baada ya kuachana na mke wake Jennifer , ambapo mchoro huo ulikuwa ni wa jina lake mke wake huyo.

50Cent ni miongoni wa wasanii wakubwa nchini America ambapo amezoea kuonekana na michoro ya tattoo tofauti tofauti ambapo mara nyingine huamua kufuta michoro hiyo na kuchora michoro
Muigizaji maarufu Jolie ilibidi afute tattoo ya mpenzi wake wa mwanzo baada ya kuachana naye ambapo hapo awali alichora jina la mpenzi wake huyp Billy Bob.


This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging